Na kimetoa wito kwa vyombo vya habari vya kitaifa na kimataifa vinavyo penda kuonyesha matukio ya siku hizo takatifu, watumie masafa hiyo kupitia anuani zifuatazo:
Satellite: Eutelsat 7A at 7.0 East(W3A)
DOWNLINK:12680.200 H
MOD:DVBS2
QPSK
FEC:5/6
Sr :3250
HD/MPEG-4
Tambua kuwa ratiba ya matangazo ya moja kwa moja (mubashara) itakua kama ifuatavyo:
- - Swala ya Adhuhuri kwa mujibu wa wakati wa Karbala tukufu.
- - Usomaji wa Quráni kuanzia saa 11:00 hadi 12:00 Jioni.
- - Swala ya Magharibi kwa mujibu wa wakati za Karbala.
- - Dua Iftitaah, saa 2:00 usiku.
- - Ziara ya Imamu Hussein (a.s) katika usiku wa Lailatul-Qadri.
- - Dua ya kubeba misahafu.
- - Dua ya Jaushen-Kabiir, kuanzia saa 4:00 hadi saa 6:00 usiku.
- - Mawaidha yatakayo tolewa na Shekh Abdu-Swahibu Twaaiy kuanzia saa 6:00 usiku.
- - Dua ya Abu Hamza Shimali kuanzia saa 7:00 hadi saa 8:00 usiku.
- - Dua za usiku, kuanzia saa 9:00 usiku na kuendelea.
- - Swala ya Alfajri kwa mujibu wa wakati wa Karbala.