Kwanza: Dini.
Pili: Lugha na utamaduni.
Tatu: Siasa.
Nne: Uchumi.
Tano: Jamii.
Sita: Elimu.
Saba: Quráni.
Nane: Viongozi mashuhuri wa Afrika.
Masharti ya shindano:
- - Makala isiwe na chini ya maneno (400) na yasizidi (1200), Makala itakayokua na chini ya kiwango cha maneno kilicho tajwa au zaidi haitakubaliwa.
- - Iwe mpya ambayo haijawahi kuandikwa mahala popote.
- - Mada iwe na uhusiano na bara la Afrika.
- - Ikidhi vigezo vya kielimu.
- - Isiwe imenakiliwa kutoka kwenye mitandao ya kijamii.
- - Iandikwe kwa lugha fasaha ya kiarabu yenye kueleweka kwa urahisi na kujiepusha na makosa ya kilugha.
- - Makala itokane na mada zilizo tajwa.
- - Ijikite katika mada moja na ifafanue kwa ufupi.
- - Iandikwe kwa kutumia program ya (word).
- - Makala zitachujwa na jopo maalum la majaji.
- - Makala zitumwe kwenye namba ya simu (07719889123) au kwa barua pepe katika anuani AFICANCENTER22@gmail.com
Tarehe ya mwisho kupokea Makala ni (20 Juni 2021m), tumeandaa zawadi kwa washindi watatu wa mwanzo pamoja na kutoa vyeti vya ushiriki, sambamba na kuandika Makala katika machapisho ya kituo.