Atabatu Abbasiyya tukufu yatoa salam za pongezi kwa dunia ya kiislamu kufuatia kuingia kwa Idul-Adh-ha

Maoni katika picha
Uongozi mkuu wa Atabatu Abbasiyya unatoa salam za pongezi kwa walii wa Mwenyezi Mungu Imamu Mahadi (a.f) na Maraajii watukufu na wanachuoni pamoja na waislamu wote duniani, kufuatia kuingia sikukuu tukufu ya Idul-Adh-ha, Mwenyezi Mungu airudishe tena kwa waislamu wakiwa salama na afya, tunaliombea taifa letu amani na utulivu na aondoe kila aina ya shari, kulu a’ami wa antum bi-alfi khair.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: