Sayyid Swafi atoa ujumbe kwa wahadhiri wa mimbari ya Husseiniyya

Maoni katika picha
Muwakilishi wa Marjaa Dini mkuu Mheshimiwa Sayyid Ahmadi Swafi, ametoa ujumbe wa wahadhiri wa mimbari ya Imamu Hussein (a.s) katika mwezi mtukufu wa Muharam, msimu wa huzuni kwa familia ya Mtume Muhammad (s.a.w.w).

Amebainisha mambo mengi muhimu wanayo takiwa kupambika nayo wahadhiri na kuyazingatia, kwani wanawakilisha ujumbe wa Imamu Hussein (a.s), na wanaeleza uhalisia wa yaliyotokea kwa Imamu Hussein (a.s), na kubainisha utukufu wake kama ulivyo tajwa katika historia ya babu yake na baba yake (a.s).
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: