Kituo kinaongozwa na watu wenye uwezo mkubwa, ambao ni wasomi wa hauza na sekula, kinatumia mbinu tofauti kufikia malengo, miongoni mwa mbinu hizo ni:
- - Kufanya uhakiki, kuandika na kutangaza.
- - Kufanya nadwa na makongamano.
- - Kuendesha semina, kituo kimefanikiwa kutoa machapisho mbalimbali (158) ndani ya miaka sita.
- - Kufungua mlango wa kushirikiana kielimu na kimaarifa na taasisi za kitamaduni na kielimu katika mji wa Basra, kituo hupokea wadau na wasomi wa turathi karibu kila siku.
Kituo ni ofisi muhimu sana, inawapigapicha wa malikale za Basra na zisizokua za Basra (278), na waandishi wa sayansi ya binaadamu, historia, maarifa ya Qur’ani, tafsiri, na mengineyo kama vile, vitabu, faharasi, maandiko ya tafiti za digrii ya pili na ya tatu.
Kumbuka kuwa kituo kimeandika vitabu vingi vyenye maudhui tofauti, bado kuna ambavyo vipo katika hatua ya uandishi, na vinatarajiwa kukamilika hivi karibuni, bila shaka vitaongeza kitu katika maktaba za kiislamu.