Atabatu Abbasiyya tukufu inatangaza kifo cha Mhadhiri wa Husseiniyya Shekhe Riyadhi Bawi (r.a).

Maoni katika picha
Kwa majonzi na huzuni kubwa uongozi mkuu wa Atabatu Abbasiyya tukufu unatangaza kifo cha Mhadhiri wa Huseiniyya Mheshimiwa Shekhe Riradhi Bawi (a.s), aliyekufa siku ya Jumatano (3 Jamadal-Uula 1443h) sawa na tarehe (8 Desemba 2021m).

Mwenyezi Mungu amuweke mahala pema peponi na aipe familia yake Subira na uvumilivu.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: