Mada zitakazo shindaniwa ni:
- - Athari za matumizi ya elektronik katika huduma za maktaba baada ya janga la Korona.
- - Miradi mikubwa ya maktaba ya kuendeleza maktaba za umma.
- - Mchango wa maktaba katika kufanikisha malengo ya maendeleo endelevu.
- - Maktaba za watoto baina ya upatikanaji na uwepo.
Kanuni za tafiti:
- 1- Utafiti uambatanishwe na wasifu wa muandishi, uwe haujawahi kutolewa mahala polote na utakabidhiwa kwenye kamati ya majaji.
- 2- Utafiti unatakiwa kuwa na maneno (300) na uandikwe kwa lugha ya kiarabu.
- 3- Utafiti uandikwe kwa hati ya Arial na ukubwa wa saizi (12).
- 4- Kuwe na ukurasa wa vitabu rejea utakao andikwa kwa hati ya Arial na ukubwa wa saizi (12).
- 5- Siku ya mwisho ya kupokea fupisho za tafiti ni (30/12/2021m).
- 6- Siku ya mwisho ya kupokea nakala kamili za tafiti ni tarehe 31/01/2022m.
- 7- Tafiti zitumwe kwa barua pepe ya idara ifuatayo: readingandreceivingunit@gmail.com
- 8- Tafiti zitakazo shinda wahusika watapewa zawadi.
- 9- Tafiti zitakazo shinda zitaandikwa kwenye chapisho la kielekronik kwa kushirikiana na jumuiyya ya kielimu Al-Ameed.
- 10- Washiriki wote watapewa vyeti vya ushiriki.
Kwa maelezo zaidi piga simu kwa namba ifuatayo: (009647602363311) pia namba hiyo inapatikana kwenye whatsapp na telegram.