Ofisi ya Marjaa Dini mkuu Mheshimiwa Ayatullah Sayyid Ali Husseini Sistani katika mji wa Najafu Ashrafu, imetangaza kuwa kesho siku ya Jumanne tunakamilisha mwezi wa Jamadal-Uula, na siku ya Jumatano sawa na tarehe (5/1/2022m) itakua siku ya kwanza ya mwezi wa Jamadal-Aakhar, tunakuombeni dua.