Imeandaliwa miche ya aina tofauti kwa ubora mkubwa, miongoni mwa miche hiyo ni (michungwa, michenza, milimao, midimu, midimu mitamu, michungwa bora)
- -
- -
- - Miti mingine kama vile: mikomamanda, mipeasi, miepol, mieprikot na mingineyo.
Idara ya shamba mboy imesema kuwa miche hiyo inapatikana kwenye vituo vyote vya mauzo vilivyo chini yake:
Kituo cha kwanza: Karbala mtaa wa Husseiniyya karibu na kituo cha Baidhwaa.
Kituo cha pili: Barabara ya Jamhuriyya karibu na duka la kubadili hela la Rafidina.
Kwa maelezo zaidi ziga namba zifuatazo (07740811332) au (07740811335).