Machapisho yaliyoshinda ni:
- 1- Mafaqihi wa Fihaa na kuendelea kwa harakati za kifikra katika mji wa Hilla.
- 2- Kufichua yaliyofichikana katika sifa za Mahadi (a.f).
- 3- Majibu ya mambo ya kazi.
Hii ni mara ya tatu kituo cha turathi kinapata ushindi kwenye shindano hilo, mara ya kwanza kilishinda kwenye mashindano mawili na kupata zawadi mbili ya kitabu cha (Mausua Rijaliyya cha Allaamah Alhilliy) na kitabu (Mukhtasar Maraasim Alawiyya).
Kumbuka kuwa kituo cha turathi za Hillah kinafanya kazi ya kuhakiki na kuandika vitavu, kinaidara mbalimbali na watumishi wenye uzowefu mkubwa katika fani zao.