Muhimu.. kesho tunakamilisha mwezi wa Dhulqaadah kwa mujibu wa ofisi ya Mheshimiwa Sayyid Sistani

Maoni katika picha
Ofisi ya Mheshimiwa Ayatullah Sayyid Sistani katika mji wa Najafu, imetangaza kuwa kesho siku ya Alkhamisi tunakamilisha mwezi mtukufu wa Dhulqaadah, na siku ya Ijumaa tarehe (1/7/2022m) ndio siku ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Dhulhijjah mwaka 1443h.

Hivyo siku ya Jumapili tarehe 10 mwezi wa saba itakua siku ya kwanza ya Idul-Adha tukufu.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: