Ndani ya Atabatu Abbasiyya tukufu.. Kushindikizwa kwa miili ya mashahidi wa shambulio la bomu katika mji wa Zakhu

Maoni katika picha
Jioni ya Alkhamisi Atabatu Abbasiyya tukufu imepokea miili ya mashahidi wa shambulio la bomu lililotokea katika mji wa Zakhu jana siku ya Jumatano.

Miili hiyo imepitishwa ndani ya haram ya Abbasi na kundi kubwa la waumini, imeswaliwa na kufanyiwa ibada ya ziara na masayyid wanaotoa huduma katika Atabatu Abbasiyya tukufu.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: