Vinatoa huduma ya matibabu kupitia madaktari bingwa.
Relatedinner
Zifuatazo ni sehemu ambazo vinapatikana vituo vya afya:
- 1- Kituo cha Ummul-Banina (a.s) mkabala na mlango wa Imamu Muhammad Aljawaad (a.s) kaskazini ya Ataba tukufu.
- 2- Kituo cha Swidiqatu-Twahirah (a.s) cha wanawake – mkabala na mlango wa Imamu Muhammad Aljawaad (a.s) upande wa kusini ya Ataba tukufu.
- 3- Hospitali ya Shahidi Muhammad Radhi (r.a) mlango wa Bagdad katika mlango wa Hashimiyya.
- 4- Kituo cha bibi Narjisi (a.s) – Mlango wa Kibla ya Abbasi (a.s).
- 5- Kituo cha Imamu Mussa Alkadhim (a.s) – Mlango wa Kibla ya Abbasi (a.s).
- 6- Kituo cha Imamu Ali Alhaadi (a.s) – mkabala na mlango wa Alqami katika uwanja wa Qassim upande wa mashariki ya Atabatu Abbasiyya tukufu.
- 7- Kituo cha bibi Ruqayya (a.s) cha wanawake – mkabala na mlango wa Alqami katika uwanja wa Qassim upande wa mashariki ya Ataba tukufu.
- 8- Kituo cha Imamu wa zama (a.f) – Maqaam ya Imamu Mahadi (a.f).
- 9- Kituo cha bibi Zainabu (a.s) – cha wanawake- kitengo cha mgahawa wa Ataba tukufu.
- 10- Mgahawa wa nje – katika mgahawa wa nje barabara ya Najafu – Karbala.
- 11- Kituo cha jengo la Shekhe Kuleini – katika jengo la Shekhe Kuleini (q.s) barabara ya Bagdad – Karbala.
- 12- Kituo cha Majmaa Ilmi – kwenye jingo la Alqami barabara ya Hilla – Karbala.
- 13- Kituo cha chuo kikuu cha Al-Ameed – katika chuo kikuu cha Al-Ameed barabara ya Najafu – Karbala.
- 14- Kituo cha Imamu Hassan Askariy (a.s) – karibu na uzio wa Imamu Mussa Alkaadhim (a.s)-.
- 15- Kituo cha Imamu Sajjaad (a.s) katika ukumbi wa haram tukufu.
- 16- Vituo viwili kwenye uwanja wa katikati ya haram mbili tukufu.