Katika kikao hicho jumla ya mada saba zimewasilishwa:
- Khutuba za ugombanishi katika zama za bani Abbasi, Dkt Imaad Jaghim Awidi.
- Athari ya vyombo vya Habari kutokana na Qur’ani tukufu na khutuba za Imamu Hussein (a.s), Dkt Amaar Hassan Abduzahra.
- Propaganda za vyombo vya Habari na mchango wake katika kupotosha jamii.. tafiti katika muongozo wa Qur’ani tukufu na sunna za Mtume, Dkt. Amru Zuhair Ali.
- Upotoshaji wa vyombo vya Habari kuhusu historia ya Imamu Hassan na Hussein (a.s) uliofanywa na utawala wa Umawiyya mwaka (41 – 64h), Dkt. Salami Jabaar Munshid A’aajibi/ mtafiti Zainabu Nadhim Koni.
- Mifumo ya kiarabu katika vyombo vya Habari, Dkt. Sahar Naji Fadhili.
- Turathi za mifumo ya kiarabu katika kujibu Habari za kifalme, Dkt. Twaha Hussein Issa.
- Kupotosha mafundisho ya Dini katika khutuba za vyombo vya Habari vya bani Abbasi, Dkt. Ali Ismaili Khaliil.