Kwa masharti haya.. Majmaa-Ilmi imetangaza kufungua masomo ya kuhifadhisha Qur’ani tukufu

Majmaa-Ilmi ya Qur’ani tukufu chini ya Atabatu Abbasiyya, imeanza semina za kuhifadhisha Qur’ani.

Semina za masomo ya Qur’ani zinatolewa katika mji wa Najafu chini ya Majmaa-Ilmi.

Masharti ya kujiunga na masomo hayo ni:

  • 1- Muombaji awe mvulana.
  • 2- Awe na umri wa miaka (8 – 15).
  • 3- Afanye mtihani wa majaribio.
  • 4- Awe anaishi Najafu.

Maahadi imeandaa zawadi kwa watakao fanya vizuri, aidha kutakua na ratiba ya michezo mbalimbali na safari za mapumziko.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: