Mshindi wa shindano hilo atapewa zawadi ya dinari (500) za Iraq, kwa masharti yafuatayo:
- 1- Iwe inaeleweka kwa urahisi.
- 2- Iwe na alama ya msahafu na Atabatu Abbasiyya tukufu.
- 3- Iwe na rangi ya kijani iliyoiva.
- 4- Siku ya mwisho ya kupokea kazi hizo ni Jumanne ya tarehe (10/1/2023m).
- 5- Majmaa inahaki ya kupendekeza marekebisho kwenye nembo itakayoshinda kwa kushauriana na mtengenezaji wa nembo husika.
- 6- Nembo zitumwe kwenye telegram kupitia namba ya simu ifuatayo (0785128865).