Kitengo cha malezi na elimu kinafanya warsha ya kuwajengea uwezo watumishi wapya

Kitengo cha malezi na elimu ya juu katika Atabatu Abbasiyya tukufu, kimefanya warsha ya kuwajengea uwezo watumishi wapya wa chuo kikuu cha Al-Ameed.

Warsha hiyo ni sehemu ya ratiba ya kuongeza uwezo wa watumishi wapya na kuwafanya waendane na ubora unaotakiwa.

Warsha hiyo inafanywa ndani ya majengo ya shule za Al-Ameed kitengo cha (wasichana), mihadhara mbalimbali imetolewa kwa lengo la kuelekeza watumishi waliojiunga na chuo hivi karibuni.

Ratiba hiyo itadumu kwa muda wa wiki mbili.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: