Ugeni kutoka Swalahu Dini unaangalia mbinu za kisasa za ufundishaji katika shule za Al-Ameed.

Ugeni wa wanafunzi wa shule za wilaya ya Tuzkharmatu katika mkoa wa Swalahu Dini, umeangalia mbinu za kisasa za ufundishaji katika shule za Al-Ameed.

Ugeni huo umekuja kuangalia maendeleo ya sekta ya malezi na elimu pamoja na mbunu za ufundishaji zinazotumika katika shule za Al-Ameed.

Ugeni umefurahishwa na mambo waliyoyaona shuleni hapo, ikiwa ni pamoja na ubora wa majengo ya shule za awali, msingi, sekondari, kumbi za michezo sambamba na vifaa vya kisasa vya kufundishia.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: