Atabatu Abbasiyya imetangaza shindano la watukufu waliozaliwa katika mwezi wa Shabani

Atabatu Abbasiyya tukufu imetangaza shindano la kitamaduni awamu ya kwanza, linalohusu Imamu Hussein (a.s) lenye anuani isemayo (watukufu waliozaliwa katika mwezi wa Shabani).

Washindi kumi watatangazwa jioni ya Jumatano ya tarehe (22/2/2023) saa moja jioni, kwenye jukwaa la Atabatu Abbasiyya, sharti la kupokea zawadi mshindi anatakiwa awepo kwenye hafla itakayo fanywa katika eneo la mlango wa Kibla ya Abulfadhil Abbasi (a.s) siku ya Alkhamisi ya tarehe (23/2/2023).

Kesho litatolewa shindano maalum la kuzaliwa kwa Abulfadhil Abbasi (a.s), kisha shindano la kuzaliwa kwa Imamu Zainul-Aabidina (a.s).

Kushiriki katika shindano fungua link ifuatayo:

https://forms.gle/9EKZ5nQm4cv2PzVA9
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: