Maahadi ya Qur’ani tawi la wanawake inafanya shindano la (Kisa cha aya) awamu ya tatu.

Maahadi ya Qur’ani tukufu tawi la wanawake katika Atabatu Abbasiyya, imetangaza kuanza kwa shindano la (Kisa cha aya) kwa mwaka wa tatu mfululizo.

Masharti ya kushiriki kwenye shindano hilo ni:

  • 1- Shindano ni kwa wanawake tu.
  • 2- Shindano ni kwa waliohifadhi kitabu cha Mwenyezi Mungu.
  • 3- Washiriki wataanza kujiunga na shindano mwezi kumi Ramadhani kupitia mtandao wa kielekronik.
  • 4- Shindano litafanywa mwezi (17) Ramadhani ndani ya ukumbi wa Maahadi ya Qur’ani katika mji wa Najafu.

Maahadi imeandaa zawadi kwa washindi watatu wa mwanzo.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: