Atabatu Abbasiyya imewekwa mapambo meusi kufuatia kumbukumbu ya kifo cha bibi Khadija (a.s).

Atabatu Abbasiyya tukufu imewekwa mapambo meusi kufuatia kumbukumbu ya kifo cha bibi Khadijatul-Kubra (a.s).

Huzuni imetanda ndani ya malalo ya Abulfadhil Abbasi (a.s) sambamba na kuwekwa vitambaa na bendera zilizo andikwa maneno ya taazia kutokana na msiba huo mkubwa.

Atabatu Abbasiyya imeandaa ratiba kamili ya uombolezaji wa kifo cha bibi Khadijatul-Kubra (a.s) inayohusisha ufanyaji wa majlisi na utoaji wa mihadhara ya kidini.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: