Kitengo cha habari kimechapisha toleo la (549) la jarida la Swada-Raudhataini.

Hivi karibuni kitengo cha habari katika Atabatu Abbasiyya kimechapisha toleo la (549) la jarida la Swada-Raudhataini.

Kurasa (84) zimeandika mambo tofauti yanayohusu miradi ya Ataba na mafanikio yake, aidha kunamilango ya habari, ripoti, hakiki na taarifa za makongamano ya kidini, kielimu na kitamaduni.

Swada-Raudhataini ni jarida la kitamaduni, huandika mafanikio ya Atabatu Abbasiyya na harakati za vitengo vyake, nalo ni chapisho la kwanza katika historia ya Ataba, hutolewa na idara ya habari.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: