Kikosi cha Abbasi kinafanya mazowezi ya kujiweka tayali kwa vikosi vyake.

Kikosi cha Abbasi (a.s) kimefanya mazowezi ya kujiweka tayali kwa vikosi vyake, kama sehemu ya kuadhimisha mwaka wa tisa tangu ilipotolewa fatwa tukufu ya kujilinda.

Mazowezi hayo yamehudhuriwa na kiongozi wa kikosi Shekhe Maitham Zaidi, mkuu wa mkoa wa Karbala Mhandisi Naswifu Jaasim Alkhatwabi na mkuu wa polisi Meja Jenerali Ahmadi Zauni, wazungumzaji walikuwa wawili, mkuu wa kikosi na mkuu wa mkoa wa Karbala.

Wamefanya mazowezi ya kivita ya aina tofauti na kwa kutumia siraha tofauti.

Mazowezi hayo yamehusisha kikosi cha Razaazah katika mkoa wa Karbala.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: