Kwa picha.. Atabatu Abbasiyya inapokea maelfu ya mazuwaru wanaokuja kufanya ibada maalum za siku ya Arafa.

Atabatu Abbasiyya tukufu imepokea maelfu ya mazuwaru kutoka ndani na nje ya Iraq wanaokuja kufanya ibada maalum za siku ya Arafa.

Ataba tukufu imejiandaa vyema kutoa huduma bora kwa mazuwaru hao na kuwapa kila kinacho hitajika katika kufanikisha ziara.

Maelfu ya waumini huja Karbala mwezi tisa Dhulhija kwa ajili ya kufanya ibada maalum mbele ya malalo ya Imamu Hussein na ndugu yake Abulfadhil Abbasi (a.s).
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: