Huduma mbalimbali zimetolewa na shamba boy wa Alkafeel kwa mazuwaru wa Arubaini.

Watumishi wa shamba boy wa Alkafeel katika Atabatu Abbasiyya, wametoa huduma mbalimbali kwa mazuwaru wa Arubaini ya Imamu Hussein, wakati wa siku za ziara inayohudhuriwa na mamilioni ya watu.

Kiongozi wa shamba boy Sayyid Muhammad Harbi amesema “Watumishi wetu wametoa huduma tofauti kwa mazuwaru, toka siku ya kwanza ya ziara ya Arubaini hadi mwisho, tumefanya kazi usiku na mchana”.

Akaongeza kuwa “Miongoni mwa huduma tulizotoa ni kugawa chakula milo mitatu kila siku kwa watu zaidi ya 3000, pamoja na kugawa maji safi ya kunywa na juisi sambamba na kugawa chakula kwa watu wanaoishi kariku na Ataba tukufu”.

Kumbuka kuwa vitengo, idara na vituo vyote vya Atabatu Abbasiyya. Vimefanya kazi kubwa ya kuhudumia mazuwaru wa Arubaini ya Imamu Hussein (a.s) toka siku ya kwanza ya mwezi wa Saraf hadi tarehe ishirini ya mwezi huo.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: