Kitengo cha maarifa kimechapisha tolea la ishirini na nne katika machapisho yake ya kieloktronik.

Hivi karibuni kitengo cha maarifa ya kiislamu na kibinaadamu katika Atabatu Abbasiyya kimechapisha toleo la ishirini na nne katika machapisho ya (Habari za Maarifu) za kielektronik.

Chapisho hilo hutolewa kila mwezi chini ya ofisi ya elektronik katika idara ya Habari.

Chapisho lina zaidi ya kurasa (55) zinazo eleza harakati zinazofanywa na kitengo cha maarifa na Habari zilizoripotiwa mwezi wa tisa.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: