Chuo kikuu cha Alkafeel kimetangaza nafasi za kazi kwa wenye digrii ya bachela.

Chuo kikuu cha Alkafeel kimetangaza nafasi za kazi ya mtafiti msaidizi kwa wenye digrii ya Bachela.

Maombi yatumwe ndani ya siku tatu, kuanzia siku ya tangazo hili.

Fani zinazotakiwa ni:

  • 1- Bachela ya sayansi ya viumbe hai.
  • 2- Bachela ya afya na matibabu.
  • 3- Bachela ya uchambuzi wa maradhi.

Muombaji awe mkazi wa mkoa wa Najafu.

Waombaji watashindanishwa kwa kuzingatia viwango cha chuo kuanzia tarehe (28/10/2023 hadi 31/10/2023m).

Kwa anayependa ajaze fomu ya maombi kupitia link ifuatayo: (https://alkafeel.edu.iq/apply10/).
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: