Kituo cha utamaduni wa familia chini ya Atabatu Abbasiyya tukufu, kimetoa wito kwa waandishi wa kike washiriki kuonyesha ubunifu wao katika kumbukumbu ya kifo cha Imamu Alkaadhim (a.s).
Kituo kimetoa wito wa kuandika katika jambo lolote la kielimu, kwa lengo la kuomboleza kifo cha Imamu Alkaadhim (a.s).
Kwa kila anayependa kushiriki tunaomba atumie link ifuatayo.
https://forms.gle/ennXvc1VXS7MYoPh7