Kuhitimisha mahafali ya wahitimu wa kikosi cha mabinti wa Alkafeel awamu ya saba

Atabatu Abbasiyya imehitimisha mahafali ya wahitimu wa kikosi cha mabinti wa Alkafeel awamu ya saba iliyo ratibiwa na idara ya shule za kidini Alkafeel.

Mahafali imedumi kwa muda wa siku mbili na ilikua na washiriki (3000) kutoka mikoa 15.

Mahafali imepambwa na kiapo cha ahadi na matembezi baina ya Ataba mbili Husseiniyya na Abbasiyya, halafu ikahitimishwa kwa ratiba ya jioni iliyokua na ujumbe wa muhedhimiwa kiongozi mkuu wa kisheria katika Atabatu Abbasiyya Pamoja na kipengele cha mashairi na tenzi.

Pembezoni mwa mahafali hiyo Ataba tukufu imetoa zawadi kwa baadhi ya familia za mashahidi na walimu.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: