Masharti ya shindano ni:
- 1- Shindano la wanawake tu.
- 2- Majibu yatokane na kitabu cha (Masomo ya awali katika tafsiri ya Ayaatul-Ahkaam).
- 3- Uandike jibu kwenye karatasi na kukabidhi moja ya sehemu zifuatazo: (Karbala tukufu – mtaa wa Mulhaq – Markazi Swidiqatu Twahirah – Ghorofa la tatu.
- 4- Majibu hayatapokelewa baada ya kutangazwa matokeo.
Mwisho wa kupokea majibu ni tarehe (7/4/2024m sawa na 27 Ramadhani tukufu).
Washindi watatu wa mwanzo watapewa zawadi kama ifuatavyo:
- 1- Mshindi wa kwanza 100,000 Dinari za Iraq.
- 2- Mshindi wa pili 75000 Dinari za Iraq.
- 3- Mshindi wa tatu 50,000 Dinari za Iraq.