Idara ya Dini tawi la wanawake imetangaza shindano la (Faidhul-Ghadiir) la kimtandao.

Idara ya Dini tawi la wanawake katika Atabatu Abbasiyya imetangaza shindano la (Faidhul-Ghadiir) la kimtandao katika mnasaba wa Idullahi-Akbaru siku ya Ghadiir.

Masharti ya kushiriki kwenye shindano hilo ni:

  • 1- Mshiriki lazima awe mwanamke.
  • 2- Umri wa mshiriki usiwe chini ya miaka kumi na nne.
  • 3- Hairuhusiwi mtu mmoja kushiriki kwa zaidi ya jina moja.
  • 4- Hairuhusiwi kwa mshiriki kukopi majibu kutoka kwa mtu mwingine, inaruhusiwa kushirikiana kutafuta jibu sahihi kwenye vyanzo vyake.
  • 5- Mwisho wa kupokea majibu ya washiriki ni mwezi 16 Dhulhijjah, iwapo majibu yatagongana itapigwa kura na kutangazwa majina ya washindi siku hiyohiyo.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: