Kutengo cha kusimamia haram kinagawa pipi na mauwa kwa mazuwaru kufuatia kuingia kwa Idul-Ghadiir.

Kitengo cha kusimamia haram tukufu katika Atabatu Abbasiuyya, kinagawa pipi na mauwa kwa mazuwaru kufuatia kuingia kwa Idul-Ghadiir.

Watumishi wa kitengo cha kusimamia haram wanagawa pipi na mauwa kwa mazuwaru wa malalo ya Abulfadhil Abbasi (a.s) kufuatia kuingia sikukuu ya Idul-Ghadiir.

Kwenye kila tukio la kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Imamu mtakasifu (a.s) au sikukuu ya Idul-Fitri, Udh-ha na Ghadiir, kitengo cha kusimamia haram hugawa marashi, mauwa na pipi kwa mazuwaru wanaokuja kutoa pongezi kwa mwezi wa familia (a.s).
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: