Wametembelea makumbusho hiyo kwa ajili ya kuangalia mali-kale zilizopo kwenye ukumbi wa makumbusho ndani ya Ataba tukufu, ugeni huo unawataalam wa mambo ya makumbusho wanaoshiriki kwenye wiki ya Imamu kimataifa awamu ya pili.
Wameangalia mali-kale zilizopo na namna ya utunzwaji wake.
Ziara hiyo inalenga kujenga ushirikiano baina yao, kwani Atabatu Abbasiyya tukufu inafanya juhudi kubwa kuhakikisha makumbushi wa Alkafeel inakuwa jukwaa kubwa la watafiti.