Kitabu kinaonyesha umuhimu wa Qur’ani tukufu katika maisha yetu ya kila siku, kwani ndio katiba ya Mwenyezi Mungu inayoratibu maisha ya mwanaadamu.
Kitabu hicho ni sehemu ya mfululizo wa vitabu vinavyoenda kwa jina la (Qutufu), vinavyo fundisha madhumuni ya Qur’ani na kumfanya msomaji aelewe kwa njia rahisi.
Kitabu kinapatikana sehemu zifuatazo:
- 1- Barabara ya Posta ofisi za Maahadi ya Qur’ani katika mji wa Najafu chini ya Majmaa –Alhananah-.
- 2- Maonyesho ya vitabu ya Atabatu Abbasiyya katika mji wa Najafu Ashrafu, barabara ya Rasuul (s.a.w.w) karibu na ofisi ya Shekhe Fayaadh.

