Atabatu Abbasiyya imefanya majlisi ya kuomboleza kifo cha Ummul-Banina (a.s).

Idara ya wahadhiri wa Husseiniyya katika Atabatu Abbasiyya. Imefanya majlisi ya kuomboleza kifo cha Ummul-Banina (a.s).

Majlisi imefanywa ndani ya ukumbi wa malalo ya Abulfadhil Abbasi (a.s) na itadumu kwa muda wa siku tatu.

Majlisi ya asubuhi imejikita kwenye kueleza historia ya Ummul-Banina (a.s) na matukio makubwa katika maisha yake.

Atabatu Abbasiyya imeandaa ratiba maalum ya kuhuisha matukio yanayohusu Ahlulbait (a.s) yenye vipengele vingi.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: