Kitengo cha Dini kinaomboleza kifo cha Umuul-Banina (a.s)

Kitengo cha Dini katika Atabatu Abbasiyya kimefanya majlisi ya kuomboleza kifo cha Ummul-Banina (a.s).

Ratiba za majlisi zinazofanywa ndani ya haram ya Abulfadhil Abbasi (a.s) za kuomboleza kifo cha Ummul-Banina (a.s) zitadumu kwa siku tatu.

Kitengo kinafanya majlisi za kuomboleza ndani na nje ya mji mtukufu wa Karbala, kwa lengo la kuangazia historia ya Ummul-Banina (a.s) na kueleza umuhimu wa kufanya kumbukizi za Ahlulbait (a.s).
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: