Ugeni huo umepokewa na rais wa kitengo cha mahusiano katika Atabatu Abbasiyya Sayyid Muhammad Ali Azhar.
Wageni wamefanya ziara katika malalo ya Abulfadhil Abbasi (a.s), kisha wakaishukuru Atabatu Abbasiyya tukufu kwa mapokezi mazuri waliyopewa.
Ni kawaida ya kila mwaka katika kuadhimisha mazazi ya Maimamu (a.s), watumishi wa malalo yao kutoa zawadi ya bendera ya muhusika kwenye Ataba zingine.