Mabango hayo yameandikwa maneno yanayo bainisha dhulma alizofanyiwa Imamu Aljawaad (a.s) na sifa zake.
Jambo hilo ni sehemu ya juhudi za Ataba tukufu katika kuonyesha muonekano wa huzuni, utiifu na mapenzi kwa Ahlulbait (a.s).
Atabatu Abbasiyya huadhimisha matukio yanayo husu Ahlulbait (a.s) likiwepo hili la kumbukumbu ya kifo cha Imamu Muhammad Aljawaad (a.s).