Makundi ya mazuwaru yanahuisha usiku wa Ijumaa mbele ya malalo ya Abulfadhil Abbasi (a.s)

Makundi ya mazuwaru yanahuisha usiku wa Ijumaa mbele ya malalo ya Abulfadhil Abbasi (a.s).

Mji mtukufu wa Karbala unapokea idadi kubwa ya watu wanaokuja kufanya ziara katika malalo ya Imamu Hussein na ndugu yake Abulfadhil Abbasi (a.s) na kuhuisha utii kwa Ahlulbait (a.s).

Atabatu Abbasiyya tukufu imeandaa utaratibu maalum wa utoaji huduma, unahusisha ulinzi, afya, kuongoza matembezi ya mazuwaru mbele ya malalo ya Abulfadhil Abbasi (a.s) na zinginezo.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: