Atabatu Abbasiyya imepandisha bendera ya wilaya kwa mnasaba wa Idul-Ghadiir

Mlango wa qibla ya malalo ya Abulfadhil Abbasi (a.s) umeshuhudia kupandishwa kwa bendera ya wilaya kwa mnasaba wa Idul-Ghadiir.

Shughuli ya kupandisha bendera katika Atabatu Alawiyya imepambwa na qaswida na tenzi kuhusu tukio hilo.

Upandishaji wa bendera ya wilaya ni sehemu ya kuhuisha utiifu kwa Imamu Ali bun Abu Twalib (a.s), alieteuliwa na Mtume (s.a.w.w) kuwa khalifa wake katika bonde la Ghadiir-Khum baada ya Hijjatul-Wadaa.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: