Uwekaji wa mabango hayo kwenye eneo la katikati ya haram mbili ni sehemu ya mkakati maalum wa kupokea msimu wa huzuni.
Vitengo vya Atabatu Abbasiyya tukufu hufanya kila viwezalo katika kuweka mazingira ya huzuni, aidha hujiandaa kutoa huduma mbalimbali kwa waombolezaji ambao huja kufanya ziara katika Ataba mbili tukufu Husseiniyya na Abbasiyya ifikapo miezi ya huzuni kwa Ahlulbait (a.s).