Ataba tukufu imeweka vitambaa vinavyo ashiria huzuni na majonzi ndani ya ukumbi wa haram tukufu na kwenye uwanja wa katikati ya haram mbili katika kuupokea mwezi wa Muharam na Safar.
Ataba imeweka utaratibu maalum wa kubadili bendera ya kubba la malalo ya Abulfadhil Abbasi (a.s) Kaaba ya swala ya Magharibi na Isha.