Waumini wanahuisha usiku wa Ijumaa ya pili katika mwezi mtukufu wa Muharam mbele ya malalo ya Abulfadhil Abbasi (a.s)

Mji wa Karbala umepokea idadi kubwa ya watu wanaokuja kuhuisha usiku wa Ijumaa ya pili katika mwezi mtukufu wa Muharam, mbele ya malalo ya Abulfadhil Abbasi (a.s).

Mji mtukufu wa Karbala unapokea idadi kubwa ya watu wanaokuja kufanya ziara ya Ashura mbele ya malalo ya Imamu Hussein na ndugu yake Abulfadhil Abbasi (a.s) na kuhuisha utiifu wao kwa Ahlulbait (a.s).

Atabatu Abbasiyya imeweka utaratibu maalum wa kupokea mazuwaru katika mwezi wa Muharam na kuwapa huduma bora kulingana na mahitaji yao.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: