Kundi la mazuwaru linahuisha usiku wa Ijumaa ya mwisho katika mwezi wa Rabiul-Aakhar mbele ya malalo ya Abulfadhil Abbasi (a.s)

Mji wa Karbala umeshuhudia idadi kubwa ya watu waliokuja kufanya ziara katika usiku wa Ijumaa ya mwisho wa mwezi wa Rabiul-Aakhar mbele ya malalo ua Abulfadhil Abbasi (a.s).

Mji mtukufu wa Karbala hupokea makundi makubwa ya watu wanaokuja kufanya ziara katika malalo ya Imamu Hussein na ndugu yake Abulfadhil Abbasi (a.s) na kuhuisha utiifu wao kwa Ahlulbait (a.s).

Atanatu Abbasiyya imeweka utaratibu maalum wa kutoa huduma bora kwa zuwaru watukufu.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: