Kitengo cha mitambo katika Atabatu Abbasiyya kimetangaza nafasi za kazi

Kitengo cha mitambo katika Atabatu Abbasiyya kimetangaza nafasi za kazi kwa wanaopenda kujiunga na kitengo hicho wajaze fomu kwa njia ya mtandao.

Fani zinazohitajika ni:

Bachela ya makenika.

Bachela ya umeme.

Diploma ya umeme.

Diploma ya makenika.

Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 01/11/2025m, maombi yote yatumwe kwa njia ya mtandao, tunatoa wito kwa waombaji wasiende moja kwa moja katika ofisi za Atabatu Abbasiyya tukufu.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: