Rais wa kitengo Sayyid Ali Badri amesema “Kitengo kimekamilisha semina ya sauti na kudhihiri kwa habari iliyosimamiwa na kituo cha mafunzo chini ya kitengo”.
Akaongeza kuwa “Semina imeshuhudia ugawaji wa zawadi kwa washiriki waliokamilisha vigezo na kufuzu”, akasisitiza kuwa “Kitengo kimejikita katika kuboresha uwezo wa watumishi wake na kuimarisha sekta ya habari”.
Mmoja wa washiriki wa semina, Sayyid Mustafa Ghazi amesema “Semina imeangazia namna ya kukusanya taarifa na kuzifanyia kazi” akaeleza kuwa “Siku 7 za mafunzo mfululizo zimetujenga sana, tunatarajia matokea ya mafunzo haya yataonekana katika utendaji wetu kwenye miradi ya habari ijayo”.


