Masharti ya usajili:
- - Muombaji awe anacheti cha hauza ngazi ya (mwanzo) Muqadimaati.
- - Awe na barua ya utambulisho kutoka kwa muwakilishi wa Marjaa-Dini mkuu au ustadhi yeyote anaetambulika.
- - Anatakiwa asipate chini ya asilimia %60 katika mtihani wa majaribio atakaopewa na kamati ya wanawake chini ya Atabatu Abbasiyya.
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia link ya telegram ifuatayo: @Stu_Doc_Un_Um
