Dua imesomwa katika mazingira tulivu, kwa ushiriki wa zuwaru wa Imamu Hussein na ndugu yake Abulfadhil Abbasi (a.s).
Atabatu Abbasiyya tukufu imeweka mazingira mazuri, imeandaa vitabu vya dua, sehemu maalum ya kufanyia ibada na kutoa huduma za lazima kwa zuwaru.




