Atabatu Abbasiyya tukufu imefanya kila iwezalo katika kuhudumia zuwaru.
Ataba tukufu imeandaa mkakati maalum unaohusisha ulinzi, afya na utoaji wa huduma mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kuongoza matembezi ya zuwaru mbele ya malalo ya Abulfadhil Abbasi (a.s).





