Atabatu Abbasiyya tukufu imefanya kila iwezalo katika kuandaa mazingira mazuri kwa zuwaru na kuwahudumia.
Atabatu Abbasiyya iliweka mkakati maalum unaohusisha sekta ya usalama, afya na utoaji wa huduma mbalimbali, sambamba na kusimamia matembezi ya zuwaru mbele ya Malalo ya Abulfadhil Abbasi (a.s).







